Monday, September 19, 2016

BALE NA RONALDO WAANZA MAZOEZI

                                  
Gareth Balle na Cristiano Ronaldo wakiwa mazoezini chini ya kocha wao Zidane
        


Kueleka ratiba ya Villarreal na Las Palmas inayowasubili Real Madrid katika siku za mbeleni imewabidi kuwaanzisha mazoezi wachezaji wake ambao hawakuwepo kwenye mechi dhidi ya Espanyol wikiendi iliyopita Cristiano Ronaldo na Gareth Bale.

Bale alipata majeraha kwenye mechi ya Champions League dhidi ya Sporting CP na Ronaldo alikuwa anasumbuliwa na mafua.

No comments:

Post a Comment