Sunday, September 4, 2016

ALONSO ANAPASWA KUSTAAFU F1-TRULLI



Fernando Alonso anapaswa  kustaafu kushiriki mbio mashughuli za magari zijulikanazo kama formula one kuliko kuendelea huku akiwa chini ya kiwango kwa McLaren, hayo yalisemwa na aliyekuwa dereva mwenzake Jarno Trulli ambapo alisema mshindi huyo mara mbili wa taji la  bingwa wa dunia Alonso hajashinda taji lolote toka  mwaka 2013 Spanish Grand Pix, haliondoka Ferrari kwa ajili ya McLaren Honda mwaka 2014.
Ni kama vile Honda wameshindwa mechi ya maendeleo dhidi ya wapinzani wao, Alonso na bingwa mwenzake wa zamani wa dunia Jenson Button kuwa walitumia muda mwingi kwenye vita ya Taifa ya kiungo kwa misimu miwili.

 ''kwa bahati mbaya alifanya uchaguzi katika siku za nyuma hali iliyompelekea  kuwa katika hali hii ya sasa ambapo hana uchaguzi wowote ''alisema.

''suluhisho pekee kwa ajili yake ni kustaafu kwa sababu katika wakati huu hakuna mtu anaeweza kumpa gari kushindana  na kushinda au kuhiriki michuano yoyote''.

''McLaren haionekani kuwa katika njia sahihi timu pekee inayoweza kushindana kwa majina ni Mercedes, Ferrari na Redbull, hakuna uchaguzi mwingine katika F1 katika mustakabali wa Fernando'' aliongezea.

 McLaren wamethibitisha kwamba timu yao itarudi juu mara moja kama kanuni mpya na kutekelezwa msimu ujao na kuthibitisha kuwa Alonso atakuwa mmoja kati ya madereva wao watatu  watakaoendesha magari ya timu yao kwa 2017 kwenye ushiriki wao wa Monza. Alonso ambae amefaulu kwenye maendesho ya 13th ya kasi hekaluni  anatarajiwa kupata upinzani mdogo wa juu wa nafasi yake ya 10 aliyopata mwishoni mwa wiki hii katika Italian  Grand Prix.

 

No comments:

Post a Comment